|
|
|
|---|---|
| Song | |
| Artist | |
| Album | |
| Released | |
Description:- Song Lyrics By are Provided in This Article. This Is a New Song Which Is Sung by Famous Singer . This Song Is from album. This Song Will be Release in .
🎤 Lyrics:
|
Track " "
|
Mapenzi tight ka kifuniko ya gas
My future bright si ni zaidi ya stars
Wanaosema tutaachana, sidanganyi watangoja sana
Yetu si ya Konde Boy na Kajala
Mapenzi za kujienjoy ya kifala
Ama kama Lilian na Governor
Vita za Chris Brown na Rihanna
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Wenye roho chafu ni time wazioshe
Hatuwachani kama Jay na Beyonce
Hii ni key na deeper than the ocean
Hakuna kupima twapeana yote yote
Hii si sinema ni pingu za maisha
Sisi together ni mbingu ilipitisha
Wanawaza kutuput asanda
Watawaza akili zitaganda
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa huwezi nunua
|
Track " "
On SongName
|
explained that " " was about " ". He elaborated further on the meaning of the track released on the "Lyrics1stPera".
If you are searching Other song's Lyrics then you are on the right post. So without wasting time let's jump on to other Song Lyrics.